Mjumbe wa Mkutano Mkuu CHADEMA Samweli Shamy aliyehama chama hicho na kuhamia ACT mzalendo kwa madai ya kunyanyaswa na kunyimwa haki yake Msingi ya kuwaletea wananchi maendeleo kupitia nafasi ya Udiwani wa Kata ya Nkwandurua ,mara baada ya kumaliza mahojiano na waandishi wa habari katika Ukumbi wa PIAZA Wilaya ya Arumeru
TCAA Yatumia Wiki ya Utumishi wa Umma Kuelimisha Wananchi
-
Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA) imeungana na Taasisi mbalimbali
za umma kushiriki katika Maadhimisho ya Wiki ya Utumishi wa Umma
yanayofany...
12 hours ago
karibu kwa wazalendo
ReplyDelete