Mjumbe wa Mkutano Mkuu CHADEMA Samweli Shamy aliyehama chama hicho na kuhamia ACT mzalendo kwa madai ya kunyanyaswa na kunyimwa haki yake Msingi ya kuwaletea wananchi maendeleo kupitia nafasi ya Udiwani wa Kata ya Nkwandurua ,mara baada ya kumaliza mahojiano na waandishi wa habari katika Ukumbi wa PIAZA Wilaya ya Arumeru
GST YAWEKEZA UJUZI, TEKNOLOJIA KUBORESHA TAFITI ZA MADINI NCHINI
-
Mkurugenzi wa Utawala na Uendeshaji wa GST, Neema Mhagama akizungumza na
waandishi wa habari alipotembelea banda la GST katika Maonesho ya Kilimo
ya ...
3 hours ago
karibu kwa wazalendo
ReplyDelete