skip to main | skip to sidebar

Kisima cha Habari

Mary Mwita Blog

Pages

  • Home
  • Contact Us

Mary Mwita

Mary Mwita
Journalist , Lawyer and Entrepreneur.

Please "like " our Page

Kisima cha Habari

Blogu Marafiki

  • MICHUZI BLOG
    NAIBU KATIBU MKUU CCM BARA ASHIRIKI MAZISHI YA NDUGU NASSOR HAMDANI TABORA - Na Mwandishi Wetu, Tabora NAIBU Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Bara,John Mongella, kwa niaba ya Katibu Mkuu wa CCM, Balozi Dkt. Asha-Rose Migir...
    2 hours ago
  • MTAA KWA MTAA BLOG
    FCC YAWEKA MIKAKATI YA KUIMARISHA UTOAJI HUDUMA KWA WANANCHI - Tume ya Ushindani (FCC) imeweka mikakati mbalimbali ya kuimarisha utoaji wa huduma bora kwa wananchi kwa wakati, kupitia matumizi ya mifumo ya kisasa kat...
    2 hours ago
  • LIBENEKE LA KASKAZINI
    WAZIRI MAKONDA: STENDI KUU ARUSHA KUWA NGUZO YA UCHUMI NA MAANDALIZI YA AFCON 2027 - Na Woinde Shizza, Arusha Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la Arusha Mjini, Paul Makonda, amesema ujenzi wa s...
    5 hours ago
  • Wazalendo 25 Blog
    Elimu : Uwekazaji wa Samia Kwenye Sayansi Kuendelea, Wanafunzi 16 Kusomea Dat Science na AI Afrika Kusini - Na Karama Kenyunko Michuzi Tv SERIKALI kupitia Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia imeanza utekelezaji kwa vitendo wa agizo la Rais Samia Suluhu Hassa...
    3 days ago
  • NGEREZA BLOG
    FOURTH EALA SET TO BE INAUGURATED ON MONDAY - *Members’ oath of allegiance and election of Speaker top the agenda* ...
    8 years ago
  • JAMIIBLOG
    WAZIRI NAPE AZINDUA TAIFF JIJINI ARUSHA - Waziri wa Habari,Utamaduni,sanaa na michezo nchini,Nape Nnauye akizungumza katika halfa ya uzinduzi wa tamasha la filamu la Tanzanite International Film Fe...
    9 years ago
  • Empire Voice
    Burundian Liberat Mfumukeko is a new EAC Chief - By ADAM IHUCHA --- Liberat Mfumukeko is a new Secretary general of the expanding East African Community. The little known Mfumukeko replaces Richard Sezib...
    9 years ago
  • MAISHA YA THAMANI
    FURSA UNAZOWEZA KUTENGENEZEA KIZAZI CHAKO KWA WEMA UNAOUTENDA LEO - *FURSA UNAZOWEZA KUTENGENEZEA KIZAZI CHAKO KWA WEMA UNAOUTENDA LEO* *Na Samuel Sasali * Wema Ni Akiba, Wema Hauozi... Mara nyingi sana ni rahisi kumfany...
    10 years ago
  • Arusha Publicity
    LAFARGE TANZANIA YAZINDUA SARUJI MPYA “TEMBO SUPASET 42.5” - Mkurugenzi wa Masoko na Mawasiliano wa Lafarge Tanzania, Allan Chonjo (wa kwanza kulia) akizungumza machache mbele ya waandishi wa habari (hawapo pichani...
    10 years ago

Zinazosomwa Zaidi

Total Pageviews

March 2, 2017

Mkurugenzi wa Halmashauri ya Arusha ,Charles Mahera akabidhi mbuzi wenye thamani ya Tshs 20,409,470 .89 kwa kaya maskini Imbibia ,Wilaya ya Arumeru ,Mkoa wa Arusha

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Arusha .Dr.Charles Mahera akikabidhi mbuzi kwa wananchi kutoka kaya Maskini,katika Kijiji Ch Imbibia Wilaya ya Arumeru .
 

Wananchi wa Kijiji cha Imbibia kutoka Kaya Maskini wakimsikiliza Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Arusha ,kabla ya kuanza kuwakabidhi Mbuzi wanaotokana na mradi wa TASAF III
 

Viongozi na watumishi  wa Halmashauri ya Arusha wanaosimamia mradi wa TASAF III wakiwa katika picha ya pamoja na Viongozi wa mradi wa TASAF katika kijiji cha Imbibia . 

Posted by Unknown at 3/02/2017 04:27:00 PM No comments:
Email ThisBlogThis!Share to XShare to Facebook
Labels: Habari

September 5, 2016

Agape kupewa zaidi ya ekari 8,000 na Serikali





AGAPE  kujenga miundo mbinu ,kuungana na Serikali katika Jitihada za maendeleo ,Serikali yawapa zaidi  ya Ekari  8,000
Na Mary Mwita Arusha
NI Jambo lakufurahisha kuona kuwa katika jamii ya watanzania, kuna wadau  wanaotamani kuona waumini wao wanaishi maisha bora na kuepuka kuwa omba omba ,na matamanio yao wanaunga mkono Jitihada za Serikali za kuwajengea miundo mbinu kama vile Shule ,Viwanda  na miradi mingine inayoweza kusaidia idadi kubwa ya watu .
 Miongoni mwa wadau hao ni Kanisa  Agape Wuema Sanctuary Ministries International Ltd. Tanzania ambalo kwa dhamira moja limeamua kuunga jitihada za kuwaletea wananchi maendeleo na kukutana na Viongozi wakuu wa Nchi kuelezea nia yao ya kujenga miundo mbinu muhimu kama vile Shule ,Hospitali ,Viwanda lengo ikiwa ni kuwezesha wananchi na waumini wao kupata huduma za msingi .
 Askofu Mkuu wa  Agape Wuema Sanctuary Ministries International Ltd ,Martini Wilson akizungumza na mwandishi wa makala hii anasema kuwa  tayari wamepata baraka kutoka Serikali za kutekeleza miradi hiyo na kuwa wanakamilisha taratibu za kisheria ili waweze mchakato wa kutekeleza miradi hiyo
 Anasema kuwa  Serikali  imesema imetoa zaidi ya ekari  zaidi 8,000 kwa Kanisa la Agape  Wema Sanctuary Ministry International Tanzania  kwa ajili ya kujenga  Shule za Sekondari ,Hospitali na miradi ya maendeleo katika mikoa mbali mbali nchini ambapo taratibu za kisheria zinakamilishwa ili kuanza utekelezaji wa miradi hiyo  .
“Tunamshukuru Mungu kuwa Serikali imepokea maono yetu kwa furaha na imeahidi kutupatia ekari  zaidi  ya 8000,na pia imetupa baraka za kuwekeza katika maeneo tunayodhani tunamudu kwa uwekezaji ,na sisi kama Kanisa ni kuunga mkono jitihada za Serikali za kuwaletea wananchi maendeleo ,tukishirikiana na Kanisa mama ,lilopo Marekani .anasema Askofu Wilson.
Askofu  huyo ,anataja  miji waliyopewa  Mashamba ni  ,Dodoma kongwa  kata ya Mkoka ekari 600 ambapo itajengwa  Hospitali ya Rufaa  pamoja na  Chuo kikuu Utafiti masuala ya afya    
 Miji mingine ni Morogoro  ekari 2000,Mkwawa-Iringa  ekari 40 ,Dodoma Bhai  ekari 600   Dodoma Nkhome ekari 600  ,Njombe ekari 350,Mbeya Mbarari ekari 100 kwa ajili ya kujenga Hospitali ,Rukwa ekari 400 itajengwa hospitali ya Rufaa ,Singida ekari   130
Askofu Wilson anasema kuwa pamoja kujenga miradi hiyo wanatajia kujenga nyumba za watumishi wa Mungu wa kanisa hilo  zipatazo   450  lengo ikiwa ni kuwaondolea adha watumishi wa Mungu ya kuhangaika kupanga  huku wakiwa hawana uhakika wa kipato
“Watumishi wa Mungu wamejikuta wakiishi katika maisha magumu sana ,na ndiyo maana baadhi wamejiingiza katika mambo ambayo ni chukizo kwa Mungu ,sisi kama kanisa tumeona mbali na kuona hilo hitaji.
Ni wazi kuwa watumishi wa Mungu wakiwa na maisha bora watahubiri na kukemea maovu bila woga ,na kwa kufanya hivyo maovu yatapungua katika jamii “anasema Askofu Wilson 
Aidha anasema kuwa wanatamani  na wananchi watakaoishi jirani na makanisa yao ,wapate huduma za msingi na kudai kuwa nia yao ya kujenga miundo mbinu ,itawezesha matamanio  yao ya kuona watu wanaishi maisha bora na kuepuka kuwa omba omba .
Anawakumbusha Viongozi wenzake wa dini kuwa  pamoja na kuhubiri neno la Mungu lazima pia wafundishe waumini wao jinsi ya kujikwamu kiuchumi na kudai kuwa ,waumini hawawezi kusikiliza neno wakiwa wana njaa
“Kuna vitu huwezi kukwepa mfano ,mtu anajaa unamhubiria aache maovu,mfundishe jinsi ya kupata kipato halali ,na mbinu za kupata ndiyo upate nafasi ya kukemea maovu,mwili unahitaji na Roho pia inahitaji ,hivyo tujisahau kuwakumbusha watu kufanya kazi kama maandiko yanayotaka” anasema Askofu Wilson .
Pamoja na mambo mengine anakemea maovu kwa viongozi wa dini kwa kuwataka kuwa mfano bora wa kuigwa katika jamii kwa kuikataa dhambi ,kwa kuepuka kuifanya mfano kujiingiza katika ushoga maana hiyo ni laana .
“Jamani niseme kuwa maandiko ya Mungu yapo wazi ,tunaonywa kuepuka dhambi ,na kuepuka kusababisha watu kutenda dhambi hivyo ,tujitahidi kuwahubiria mema na jinsi ya kujikwamua katika hali ngumu ya kiuchumi na siyo ,kukemea bila kuwapa suluhisho la shida zao “anasema
Aidha anasema kuwa watajenga  450 ikiwa nikuwezesha watumishi wa Mungu kuishi maisha bora na kuhudumia wananchi na waumini wa makanisa yao .
Waziri wa Mambo ya ndani Mwigulu Nchemba akiwa amewakilisha Serikali   anakutana na watumishi wa Mungu wa Kanisa hilo ,Jijini Arusha ,katika kata ya Kisongo  nakuzungumza nao, na kuwaeleza  kuwa  Serikali inatambua umuhimu wa taasisi za dini katika maendeleo ya nchi na kusisitiza  kuwa itashirikiana nao katika kuhakikisha kuwa nia njema ya kusaidia Serikali katika ujenzi wa miradi na vitega uchumi inafanikiwa  .
Waziri Mwigulu  pamoja na mambo mengine anawakumbusha  Viongozi hao kuendelea kuhimiza Amani nchini na kukemea maovu nchini na kudai kuwa ,bila amani na upendo hakuna maendeleo .
“Ndugu Viongozi wa Dini niwapongeze kwa hatua yenu hii ya kuungana na Serikali kuwaletea wananchi maendeleo ,Serikali inawahakikishia kuwa  inatambua mchango wetu ,na msisite kuomba ushirikiano katika jambo hili jema la kujenga miundo mbinu kwa faida ya watanzania
Niwakumbushe  kuwa amani ni jambo muhimu sana tunaomba muendelee kuihubiri bila kuchoka kwa kuwa bila amani ,hakuna maendeleo  popote duniani”anasisitiza Mwigulu
Hata hivyo tayari huduma hiyo imepokelewa Vizuri na Viongozi wa Serikali na kwa vitendo ,ambapo  Spika wa Bunge Job Ndugai  tayari  amekutana Timu ya Watumishi wa Mungu wakiongozana  na Askofu Mkuu wa Kanisa la Agape   mjini Dodoma na kufanya nao mazungumzo, na kuwapatia Baraka za kujenga katika Mji huo miundo mbinu ya Afya  na Elimu  .
Spika wa Bunge la Tanzania akizungumza na Viongozi hao wa Agape anasema kuwa Serikali inadhamini sana ,michango ya Taaasisi binafsi ikiwemo za Dini ,na kuwa Serikali inahitaji kuungwa mkono katika kuhakikisha inafikia malengo ya kuwaletea wananchi wao maendeleo .
“Niseme kuwa  kama Serikali ,tunasikia furaha tukiungwa mkono katika maendeleo ,niseme kuwa mimi binafsi nimepokea taarifa hizi kwa furaha ,natarajia kuwa wananchi watanufaika na huduma hizo pindi zitakavyokamilika .”anasema Ndugai
Waumini na wananchi Jijini Arusha wanaeleza kuwa hatua ya Agape kujenga miundo mbinu  kwa ajili ya wananchi na Viongozi wa Dini itakuwa imefungua ukurasa mpya wa Viongozi wa Dini kuishi maisha bora na kuepuka kuwa tegemezi kwa waumini wao ,ambao wengi ni maskini .
Paulina Jackob ni mkazi wa Majengo ,Jijini Arusha anasema kuwa kwa miaka mingi watumishi wa Mungu wameishi maisha ya taabu na kuwa ikiwa watawezeshwa kujengewa makazi bora ,wataweza kuhubiri neno la Mungu kwa uhuru bila kishawishi .
“Mimi niseme kuwa nimefurahishwa na huduma hii ,Mungu awasaidie wafanikishe kwa kweli mbali na kuunga jitihada za Serikali mkono itasaidia watu na Viongozi wa dini kukabiliana na mazingira wanayoishi,niwapongeze sana”anasema Bi Jackob
Frank Emanuel mkazi wa Sanawari akizungumzia hatua hiyo anasema kuwa amebarikiwa na mpango huo na kudai kuwa anatamani aone utekelezaji wake.
“Agape kweli kama wanamaanisha wanachokisema Mungu  awawezeshe maana,kwa kweli bado tunahitaji huduma za msingi katika jamii ,na hali yetu ya kipato ni ngumu ,tukipata watu wakatujengea huduma za msingi ,tunaepukana na michango katika maeneo ya makazi yetu ,hivyo ni jambo zuri  “anasema Emanuel .
Kanisa  la Agape Wuema Sanctuary Ministries International Ltd. Tanzania limefanikiwa kuwa na matawi  mpaka  Zanzibar na mpango wa kujenga miundo mbinu hiyo utafikia katika maeneo yalipo  matawi yake  na maeneo mengine nchini .
Mwisho



Posted by Unknown at 9/05/2016 09:29:00 AM No comments:
Email ThisBlogThis!Share to XShare to Facebook
Labels: Dini

Spika wa Bunge la Jamhuri akiwa katika picha ya pamoja na Viongozi wa Dini wa Kanisa la Agape baada ya kufanya nao mazungumzo na kukabithi ekari 600

Spika wa Bunge Job Ndugai akiwa  katika picha ya pamoja na Askofu Mkuu  wa Kanisa la Agape WEUMA  Martin Wilson  akiwa ameambatana na Maaskofu  na Viongozi wengine wa  kanisa hilo ,mjini Dodoma walipokabithiwa ekari  600 kwa ajili ya ujenzi wa miundo mbinu Dodoma

Posted by Unknown at 9/05/2016 09:25:00 AM No comments:
Email ThisBlogThis!Share to XShare to Facebook
Labels: Dini

Kanisa la AGAPE kujenga Hospitali ya Rufaa Dodoma ,yapewa ekari 600

Askofu Mkuu  wa Agape WEUMA Tanzania Wilson Martin akipokea hati ya makabidhiano ya ekari 600 kutoka kwa Spika wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ,ambapo kanisa hilo litajenga  Hospitali ya Rufaa na Chuo kikuu cha utafiti wa Afya katika mji wa Dodoma ikiwa ni kuu kuunga mkono jitihada za Serikali
Posted by Unknown at 9/05/2016 09:18:00 AM No comments:
Email ThisBlogThis!Share to XShare to Facebook
Labels: Dini

AGAPE WEUMA yapewa ekari zaidi ya 8,000 na Serikali ya Tanzania

Spika wa Bunge la Tanzania Job Ndugai akikabidhi hati ya shamba la ekari 600 kwa Askofu wa Kanisa la Agape WEUMA Tanzania,walipokutana na Timu ya Viongozi Jijini Dodoma ,Agape WEUMA Tanzania kwa kushirikiana na Kanisa Mama nchini Marekani  linatarajia kujenga miundo mbinu katika maeneo mbali mbali nchi ambapo kuna matawi yake ya Kanisa .,Serikali imewapa zaidi ya ekari   elfu  8000




Posted by Unknown at 9/05/2016 09:11:00 AM No comments:
Email ThisBlogThis!Share to XShare to Facebook

September 11, 2015

Wachungaji ,Maaskofu ,Mashehe na Viongozi wa Dini wakiwa ,wanajiandaa kucheza mpira katika Uwanja wa Sheikh Amir Abeid

Wachungaji ,Maaskofu na Mashehe wakiwa wanasali ,kabla ya kuanza kucheza mpira katika Uwanja wa Sheikh Amir Abeid ,mchezo wenye lengo la kuimarisha mahusiano na kusisitiza Amani kwa Dini mbali mbali

Posted by Unknown at 9/11/2015 11:02:00 AM No comments:
Email ThisBlogThis!Share to XShare to Facebook
Labels: Arusha, Dini, Habari

Waziri Mkuu Pinda awanusuru Wakazi wa Ngorongoro
















Ngorongoro kuondokana na adha ya  magari ya wagonjwa ,











Waziri Mkuu Pinda akizindua matumizi ya Magari ya mawili ya wagonjwa ,aina ya Ambulance msaada uliotolewa na wahisani na watanzania waishio Japan ikiwa ni ombi la Waziri Pinda ,baada ya kuombwa na wananchi wa Ngorongoro mwaka 2013.

Conversations

Primary
4 new
Social
2 new
Promotions
 
Not starredAd
BE FORWARD
Ad
BE FORWARD Used Cars Sale - Japanese Quality at Low Price, Full Time Huge Stock,Free Quote!
Not starredAd
Tharawat
Ad
Business Leadership - Inspiration for the growth-minded company

Primary

 
1–50 of 346
 
 
Your Primary tab is empty.
Personal messages and messages that don’t appear in other tabs will be shown here.
To add or remove tabs click inbox settings.
Not starred
Important mainly because of the people in the conversation.
Click to teach Gmail this conversation is not important.
me, Philemon (2), Wananchi Meru watakiwa kujitokeza kuhakiki taarifa zao, Sep 3, Be Blessed abundantly From: Mary Mwita Sent: Wednesday, September 02, 2015 9:50 PM To: Philemon.
me, Philemon (2)
Wananchi Meru watakiwa kujitokeza kuhakiki taarifa zao - Be Blessed abundantly From: Mary Mwita Sent: Wednesday, September 02, 2015 9:50 PM To: Philemon
 Sep 3
Not starred
Important mainly because of the people in the conversation.
Click to teach Gmail this conversation is not important.
Isaack, me (2), Fw: TS3s, has attachments, 9/23/13, Please Isack where are u?iam looking for you ,please call me ,You are suppose to go Morogoro ,please.
Isaack, me (2)
Fw: TS3s - Please Isack where are u?iam looking for you ,please call me ,You are suppose to go Morogoro ,please
Attachment9/23/13
Not starred
Important mainly because of the people in the conversation.
Click to teach Gmail this conversation is not important.
Jean-Pierre Uwanone, INTERNSHIP OPPORTUNITIES FOR IT, has attachments, 9/12/13, See the attachment and disseminate to those who are doing Masters Degree in IT Regards.
Jean-Pierre Uwanone
INTERNSHIP OPPORTUNITIES FOR IT - See the attachment and disseminate to those who are doing Masters Degree in IT Regards
Attachment9/12/13
Not starred
Important mainly because of the people in the conversation.
Click to teach Gmail this conversation is not important.
Arusha Press Club, MWALIKO WA MAFUNZO YA UANDISHI WA HABARI ZA UCHUNGUZI, 9/7/13, Ndugu mwanachama wa APC, Kamati ya utendaji imekuteua kuhudhuria mafunzo kuhusu uandishi wa habari za.
Arusha Press Club
MWALIKO WA MAFUNZO YA UANDISHI WA HABARI ZA UCHUNGUZI - Ndugu mwanachama wa APC, Kamati ya utendaji imekuteua kuhudhuria mafunzo kuhusu uandishi wa habari za
 9/7/13
Not starred
Important mainly because of the people in the conversation.
Click to teach Gmail this conversation is not important.
Arusha, me (2), MWALIKO WA SEMINA YA TCRA - OLASITI GARDEN, has attachments, 9/3/13, Asante nitahudhuria On Tue, Sep 3, 2013 at 12:54 PM, Arusha Press Club <arushapressclub@gmail.com.
Arusha, me (2)
MWALIKO WA SEMINA YA TCRA - OLASITI GARDEN - Asante nitahudhuria On Tue, Sep 3, 2013 at 12:54 PM, Arusha Press Club <arushapressclub@gmail.com
Attachment9/3/13
Not starred
Important mainly because of the people in the conversation.
Click to teach Gmail this conversation is not important.
Dropbox, DR THOMAS SIMON MSUKULE invited you to check out Dropbox, 8/22/13, Hi there, DR THOMAS SIMON MSUKULE wants you to try Dropbox! Dropbox lets you bring all your photos,.
Dropbox
DR THOMAS SIMON MSUKULE invited you to check out Dropbox - Hi there, DR THOMAS SIMON MSUKULE wants you to try Dropbox! Dropbox lets you bring all your photos,
 8/22/13
Not starred
Important mainly because it was sent directly to you.
Click to teach Gmail this conversation is not important.
Florian Mutabazi, MEDIA ALERT, has attachments, 8/13/13, EAST AFRICAN LEGISLATIVE ASSEMBLY MEDIA ALERT The East African Legislative Assembly (EALA) in.
Florian Mutabazi
MEDIA ALERT - EAST AFRICAN LEGISLATIVE ASSEMBLY MEDIA ALERT The East African Legislative Assembly (EALA) in
Attachment8/13/13
Not starred
Important mainly because it was sent directly to you.
Click to teach Gmail this conversation is not important.
Emmanuel Atenga, Interview of Prof. Adolphe Lawson in Arusha, has attachments, 8/13/13, Dear All, Find attached WMA file, interview of The Executive Secretary of African Union Advisory.
Emmanuel Atenga
Interview of Prof. Adolphe Lawson in Arusha - Dear All, Find attached WMA file, interview of The Executive Secretary of African Union Advisory
Attachment8/13/13
Not starred
Important mainly because it was sent directly to you.
Click to teach Gmail this conversation is not important.
Emmanuel Atenga, Press Release for the Economic and Corporate Governance sub-Cluster meeting in Arusha, has attachments, 8/8/13, Dear All, I am pleased to inform you that the Economic and Corporate Governance sub-Cluster meeting.
Emmanuel Atenga
Press Release for the Economic and Corporate Governance sub-Cluster meeting in Arusha - Dear All, I am pleased to inform you that the Economic and Corporate Governance sub-Cluster meeting
Attachment8/8/13
Not starred
Important mainly because it was sent directly to you.
Click to teach Gmail this conversation is not important.
Emmanuel, Mussa (2), Postponed meeting from 12th to 13th August 2013, 8/6/13, ok thanks Atenga On Mon, Aug 5, 2013 at 12:58 PM, Emmanuel Atenga <atengae@auanticorruption.org.
Emmanuel, Mussa (2)
Postponed meeting from 12th to 13th August 2013 - ok thanks Atenga On Mon, Aug 5, 2013 at 12:58 PM, Emmanuel Atenga <atengae@auanticorruption.org
 8/6/13
Not starred
Important mainly because of the people in the conversation.
Click to teach Gmail this conversation is not important.
Jean-Pierre Uwanone, Conference for Economic and Corporate Governance Sub-Cluster was postponned to 12 Augus..., 8/5/13, This is to let you know that the meeting on the Economic and Corporate Governance Sub-Cluster was.
Jean-Pierre Uwanone
Conference for Economic and Corporate Governance Sub-Cluster was postponned to 12 Augus... - This is to let you know that the meeting on the Economic and Corporate Governance Sub-Cluster was
 8/5/13
Not starred
Important mainly because it was sent directly to you.
Click to teach Gmail this conversation is not important.
Emmanuel, Jean-Pierre (2), Press Release, has attachments, 8/4/13, Jean-Pierre Uwanone NTAWIZERUWANONE Senior Information & Communication Officer African Court on.
Emmanuel, Jean-Pierre (2)
Press Release - Jean-Pierre Uwanone NTAWIZERUWANONE Senior Information & Communication Officer African Court on
Attachment8/4/13
Not starred
Important mainly because of the people in the conversation.
Click to teach Gmail this conversation is not important.
Jean-Pierre Uwanone, The Republic of Côte d’Ivoire deposits the declaration allowing individuals and NGOs to..., has attachments, 7/31/13, The Republic of Côte d'Ivoire deposits the declaration allowing individuals and NGOs to directly.
Jean-Pierre Uwanone
The Republic of Côte d’Ivoire deposits the declaration allowing individuals and NGOs to... - The Republic of Côte d'Ivoire deposits the declaration allowing individuals and NGOs to directly
Attachment7/31/13
Not starred
Important mainly because of your interaction with messages in the conversation.
Click to teach Gmail this conversation is not important.
me, mkilaha (3), MAKALA,Sheria na Kanuni kuwabana wachimbaji wa madini ya Urani ,wakiukaji kutoa fani ya..., has attachments, 7/27/13, Dear Mary, Asante sana. jana nilikosa nafasi ya kuipitia lakini nimeshafanya hivyo sasa hivi. Naomba.
me, mkilaha (3)
MAKALA,Sheria na Kanuni kuwabana wachimbaji wa madini ya Urani ,wakiukaji kutoa fani ya... - Dear Mary, Asante sana. jana nilikosa nafasi ya kuipitia lakini nimeshafanya hivyo sasa hivi. Naomba
Attachment7/27/13
Not starred
Important mainly because of your interaction with messages in the conversation.
Click to teach Gmail this conversation is not important.
me, Rai (3), Makala,Vurugu ,Mabomu na Hatima ya Maendeleo ya Arusha, has attachments, 7/21/13, Wau ni Mary Mwita,0754520109 2013/7/21 Rai <raihcl@yahoo.com> Dada Mary mambo vipi? Nipe namba.
me, Rai (3)
Makala,Vurugu ,Mabomu na Hatima ya Maendeleo ya Arusha - Wau ni Mary Mwita,0754520109 2013/7/21 Rai <raihcl@yahoo.com> Dada Mary mambo vipi? Nipe namba
Attachment7/21/13
Not starred
Click to teach Gmail this conversation is important.
me (3), Draft, lilian letter, has attachments, 7/20/13, On Sat, Jul 20, 2013 at 5:31 PM, Mary Mwita <marymwita2011@gmail.com> wrote: On Sun, May 12,.
me (3), Draft
lilian letter - On Sat, Jul 20, 2013 at 5:31 PM, Mary Mwita <marymwita2011@gmail.com> wrote: On Sun, May 12,
Attachment7/20/13
Not starred
Important mainly because of the people in the conversation.
Click to teach Gmail this conversation is not important.
tmkina, me (2), Nakukubali, 6/30/13, Naona watu wametembelea story yako ile mbaya ,kweli wewe mtu wa watu big up,Handsome boy On Mon, Jul.
tmkina, me (2)
Nakukubali - Naona watu wametembelea story yako ile mbaya ,kweli wewe mtu wa watu big up,Handsome boy On Mon, Jul
 6/30/13
Not starred
Click to teach Gmail this conversation is important.
Jean-Pierre Uwanone, Delibery of Judgment in MKandawire v. Malawi and Norbert Zongo v. Burkina Faso, has attachments, 6/21/13, Dear, Please find attached the Press Releases and Photos for publication. Regards. Jean-Pierre.
Jean-Pierre Uwanone
Delibery of Judgment in MKandawire v. Malawi and Norbert Zongo v. Burkina Faso - Dear, Please find attached the Press Releases and Photos for publication. Regards. Jean-Pierre
Attachment6/21/13
Not starred
Important mainly because it was sent directly to you.
Click to teach Gmail this conversation is not important.
me, MAKALA YA Afya kama attachment, has attachments, 6/20/13, Hi My Dear ,here is my feature Story and pictures ,please work on it Wishing you all the best,.
me
MAKALA YA Afya kama attachment - Hi My Dear ,here is my feature Story and pictures ,please work on it Wishing you all the best,
Attachment6/20/13
Not starred
Important mainly because it was sent directly to you.
Click to teach Gmail this conversation is not important.
friends of east africa i., Fwd: THE FIRST MEETING OF FRIENDS OF EAST AFRICA TANZANIAN CHAPTER AND THE BEGINNING OF..., has attachments, 6/19/13, Forwarded message From: friends of east africa international council <.
friends of east africa i.
Fwd: THE FIRST MEETING OF FRIENDS OF EAST AFRICA TANZANIAN CHAPTER AND THE BEGINNING OF... -  Forwarded message From: friends of east africa international council <
Attachment6/19/13
Not starred
Click to teach Gmail this conversation is important.
Jean-Pierre Uwanone, Delivery of Judgment in the matter of Urban Mkandawire v. the Republic of Malawi & Deli..., has attachments, 6/19/13, Jean-Pierre Uwanone NTAWIZERUWANONE Senior Information & Communication Officer African Court on.
Jean-Pierre Uwanone
Delivery of Judgment in the matter of Urban Mkandawire v. the Republic of Malawi & Deli... - Jean-Pierre Uwanone NTAWIZERUWANONE Senior Information & Communication Officer African Court on
Attachment6/19/13
Not starred
Important mainly because of the words in the message.
Click to teach Gmail this conversation is not important.
Jean-Pierre Uwanone (2), Rev Crhistopher Mtikila won a Case against the United Republic of Tanzania, has attachments, 6/14/13, Jean-Pierre Uwanone NTAWIZERUWANONE Senior Information & Communication Officer African Court on.
Jean-Pierre Uwanone (2)
Rev Crhistopher Mtikila won a Case against the United Republic of Tanzania - Jean-Pierre Uwanone NTAWIZERUWANONE Senior Information & Communication Officer African Court on
Attachment6/14/13
Not starred
Important mainly because of the people in the conversation.
Click to teach Gmail this conversation is not important.
Jean-Pierre Uwanone, URGENT: The Judgment in Rev Christopher Mtikila Case has been moved to 3:00 PM; on 14 J..., 6/13/13, URGENT: The Judgment in Rev Christopher Mtikila Case has been moved to 3:00 PM; on 14 June 2013 Jean-.
Jean-Pierre Uwanone
URGENT: The Judgment in Rev Christopher Mtikila Case has been moved to 3:00 PM; on 14 J... - URGENT: The Judgment in Rev Christopher Mtikila Case has been moved to 3:00 PM; on 14 June 2013 Jean-
 6/13/13
Not starred
Important mainly because of your interaction with messages in the conversation.
Click to teach Gmail this conversation is not important.
unread, Jean-Pierre Uwanone (2), Delivery of Judgment in the matter of Rev. Christopher Mtikila v. The United Republic o..., has attachments, 6/12/13, Find attached Jean-Pierre Uwanone NTAWIZERUWANONE Senior Information & Communication Officer.
Jean-Pierre Uwanone (2)
Delivery of Judgment in the matter of Rev. Christopher Mtikila v. The United Republic o... - Find attached Jean-Pierre Uwanone NTAWIZERUWANONE Senior Information & Communication Officer
Attachment6/12/13
Not starred
Important mainly because it was sent directly to you.
Click to teach Gmail this conversation is not important.
unread, me (3), Rais Kikwete a RAIS Kikwete afurahishwa na Ujenzi wa Hospitali ya Oltrument ,awagusa Wa..., has attachments, 6/10/13, Forwarded message From: mary mwita <marymwita2011@gmail.com> Date: 2012/.
me (3)
Rais Kikwete a RAIS Kikwete afurahishwa na Ujenzi wa Hospitali ya Oltrument ,awagusa Wa... -  Forwarded message From: mary mwita <marymwita2011@gmail.com> Date: 2012/
Attachment6/10/13
Not starred
Click to teach Gmail this conversation is important.
unread, Gmail Team, Your Gmail address, ghatty2013@gmail.com, has been created, 6/6/13, Welcome to Gmail! You can login to your account at http://mail.google.com/. Here are a couple of tips.
Gmail Team
Your Gmail address, ghatty2013@gmail.com, has been created - Welcome to Gmail! You can login to your account at http://mail.google.com/. Here are a couple of tips
 6/6/13
Not starred
Important mainly because of the people in the conversation.
Click to teach Gmail this conversation is not important.
unread, Tumaini Makumira (Google., Google Groups: You've been added to Tuma Graduates 2013, 5/31/13, "Seminar on DECIDING ON YOUR CAREER" About this group: This is the forum for discussion,.
Tumaini Makumira (Google.
Google Groups: You've been added to Tuma Graduates 2013 - "Seminar on DECIDING ON YOUR CAREER" About this group: This is the forum for discussion,
 5/31/13
Not starred
Important mainly because of the people in the conversation.
Click to teach Gmail this conversation is not important.
Jean-Pierre Uwanone, Trainees from the MS-Training Centre for Development Cooperation visit the Court, has attachments, 5/31/13, For immediate publication Jean-Pierre Uwanone NTAWIZERUWANONE Senior Information & Communication.
Jean-Pierre Uwanone
Trainees from the MS-Training Centre for Development Cooperation visit the Court - For immediate publication Jean-Pierre Uwanone NTAWIZERUWANONE Senior Information & Communication
Attachment5/31/13
Not starred
Important mainly because of the people in the conversation.
Click to teach Gmail this conversation is not important.
Lilian Ntiro (2), RE: Re:, 5/30/13, Hai Mary mambo yako mbona kimya sana my dear unaendeleaje mdogo wangu mi ni mzima namshukuru sana.
Lilian Ntiro (2)
RE: Re: - Hai Mary mambo yako mbona kimya sana my dear unaendeleaje mdogo wangu mi ni mzima namshukuru sana
 5/30/13
Not starred
Important mainly because it was sent directly to you.
Click to teach Gmail this conversation is not important.
GEOFREY NYAMWIHULA, Taarifa ya CCM kuhusiana na kikao na Wabunge wake, 5/21/13, --- On Tue, 5/21/13, paul chilewa <poulchilewa@hotmail.com> wrote: From: paul chilewa <.
GEOFREY NYAMWIHULA
Taarifa ya CCM kuhusiana na kikao na Wabunge wake - --- On Tue, 5/21/13, paul chilewa <poulchilewa@hotmail.com> wrote: From: paul chilewa <
 5/21/13
Not starred
Important mainly because of the people in the conversation.
Click to teach Gmail this conversation is not important.
unread, GEOFREY NYAMWIHULA, UFAFANUZI ARV BANDIA, has attachments, 5/16/13, --- On Wed, 5/15/13, cathy sungura <cathysungura@yahoo.com> wrote: From: cathy sungura <.
GEOFREY NYAMWIHULA
UFAFANUZI ARV BANDIA - --- On Wed, 5/15/13, cathy sungura <cathysungura@yahoo.com> wrote: From: cathy sungura <
Attachment5/16/13
Not starred
Important mainly because of your interaction with messages in the conversation.
Click to teach Gmail this conversation is not important.
SHONIYAI, Isaack (3), RE: ST. JAMES TAYO LEADER'S MEETING MINUTES., has attachments, 5/15/13, Dear All, Praise Jesus! Kindly receive the minutes of the meeting held on 9th May 2013, attached with.
SHONIYAI, Isaack (3)
RE: ST. JAMES TAYO LEADER'S MEETING MINUTES. - Dear All, Praise Jesus! Kindly receive the minutes of the meeting held on 9th May 2013, attached with
Attachment5/15/13
Not starred
Important mainly because it was sent directly to you.
Click to teach Gmail this conversation is not important.
me, Makala ,Chuo cha Maendeleo ya Jamii ,kilichopika wasomi ,lakini miundo mibovu, has attachments, 5/14/13, Chuo Cha Maendeleo ya Jamii ,kilichopika wasomi wanaotumikia Taifa ,Chahitaji maboresho Na Marie John.
me
Makala ,Chuo cha Maendeleo ya Jamii ,kilichopika wasomi ,lakini miundo mibovu - Chuo Cha Maendeleo ya Jamii ,kilichopika wasomi wanaotumikia Taifa ,Chahitaji maboresho Na Marie John
Attachment5/14/13
Not starred
Important mainly because of the people in the conversation.
Click to teach Gmail this conversation is not important.
ANNIE, me (2), TANGAZO-MERU, has attachments, 5/14/13, tangazo.
ANNIE, me (2)
TANGAZO-MERU - tangazo
Attachment5/14/13
Not starred
Important mainly because of the people in the conversation.
Click to teach Gmail this conversation is not important.
unread, suzan japhet (2), Fw: Fw: IP Acts and Regulations, has attachments, 5/13/13, ip Notes Sent from Yahoo! Mail on Android From: Sipho Limbe <slimbe2@yahoo.com>; To: s.Japhet@.
suzan japhet (2)
Fw: Fw: IP Acts and Regulations - ip Notes Sent from Yahoo! Mail on Android From: Sipho Limbe <slimbe2@yahoo.com>; To: s.Japhet@
Attachment5/13/13
Not starred
Important mainly because of the people in the conversation.
Click to teach Gmail this conversation is not important.
unread, GEOFREY NYAMWIHULA, MLIPUKO ARUSHA TUNAPAPASA TU BADO HATUJASEMA TATIZO HASA NI LIPI, has attachments, 5/13/13, --- On Sat, 5/11/13, Fratern Shirima <shirima.fratern@yahoo.com> wrote: From: Fratern Shirima.
GEOFREY NYAMWIHULA
MLIPUKO ARUSHA TUNAPAPASA TU BADO HATUJASEMA TATIZO HASA NI LIPI - --- On Sat, 5/11/13, Fratern Shirima <shirima.fratern@yahoo.com> wrote: From: Fratern Shirima
Attachment5/13/13
Not starred
Important mainly because of the people in the conversation.
Click to teach Gmail this conversation is not important.
Nakesa, Hii ni email yangu, 5/8/13, Sweet ninashida mume wangu amesafiri nataka maandishi Sent from my iPhone.
Nakesa
Hii ni email yangu - Sweet ninashida mume wangu amesafiri nataka maandishi Sent from my iPhone
 5/8/13
Not starred
Important mainly because of the people in the conversation.
Click to teach Gmail this conversation is not important.
me, Mail (2), Makala ,TAMIHA Shirika lilojikita kusaidia wanawake Maskini na watoto wanaotoka katika ..., has attachments, 5/6/13, Delivery to the following recipient failed permanently: crispin@tamiha.org Technical details of.
me, Mail (2)
Makala ,TAMIHA Shirika lilojikita kusaidia wanawake Maskini na watoto wanaotoka katika ... - Delivery to the following recipient failed permanently: crispin@tamiha.org Technical details of
Attachment5/6/13
Not starred
Important mainly because of the people in the conversation.
Click to teach Gmail this conversation is not important.
me, Khalifa (3), MAKALA YAKO, has attachments, 4/27/13, THANK a million for appreciation ,we are together and God made us to work and appriciate other for.
me, Khalifa (3)
MAKALA YAKO - THANK a million for appreciation ,we are together and God made us to work and appriciate other for
Attachment4/27/13
Not starred
Important mainly because of the people in the conversation.
Click to teach Gmail this conversation is not important.
GEOFREY NYAMWIHULA, Mwanamuziki Diamond ni mdhalilishaji wa Mwanamke "Bi.Wema Sepetu", has attachments, 4/24/13, --- On Sun, 4/21/13, Hildegarda Kiwasila <khildegarda@yahoo.co.uk> wrote: From: Hildegarda.
GEOFREY NYAMWIHULA
Mwanamuziki Diamond ni mdhalilishaji wa Mwanamke "Bi.Wema Sepetu" - --- On Sun, 4/21/13, Hildegarda Kiwasila <khildegarda@yahoo.co.uk> wrote: From: Hildegarda
Attachment4/24/13
Not starred
Important mainly because of the people in the conversation.
Click to teach Gmail this conversation is not important.
unread, Samuel (11), Tengeru, 4/23/13, .
Samuel (11)
Tengeru
 4/23/13
Not starred
Important mainly because of the people in the conversation.
Click to teach Gmail this conversation is not important.
Samuel, Bishops, 4/23/13, .
Samuel
Bishops
 4/23/13
Not starred
Important mainly because of the people in the conversation.
Click to teach Gmail this conversation is not important.
Samuel, Tengeru 1, 4/23/13, .
Samuel
Tengeru 1
 4/23/13
Not starred
Important mainly because of the people in the conversation.
Click to teach Gmail this conversation is not important.
Ramadhan, me (2), NAIC STORY, has attachments, 4/18/13, Watendaji wa Serikali walivyomwangusha Rais Jakaya Kikwete wakwamisha Mapinduzi ya Mifugo Na Mary.
Ramadhan, me (2)
NAIC STORY - Watendaji wa Serikali walivyomwangusha Rais Jakaya Kikwete wakwamisha Mapinduzi ya Mifugo Na Mary
Attachment4/18/13
Not starred
Important mainly because it was sent directly to you.
Click to teach Gmail this conversation is not important.
me, Chuo cha Mafunzo ya Mifugo Tengeru na Mikakati ya kuleta Mapinduzi ya Mifugo, has attachments, 4/16/13, Chuo cha Mafunzo ya Mifugo Tengeru na Mikakati ya kuleta Mapinduzi ya Mifugo Na Mary Mwita,Arumeru ..
me
Chuo cha Mafunzo ya Mifugo Tengeru na Mikakati ya kuleta Mapinduzi ya Mifugo - Chuo cha Mafunzo ya Mifugo Tengeru na Mikakati ya kuleta Mapinduzi ya Mifugo Na Mary Mwita,Arumeru .
Attachment4/16/13
Not starred
Important mainly because of the words in the message.
Click to teach Gmail this conversation is not important.
Mary Muinde Gitari, Appreciation for Attending the EACFFPC Media Workshop, 4/10/13, On behalf of the FEAFFA Executive Director, Mr. John Mathenge, and TradeMark East Africa, we would.
Mary Muinde Gitari
Appreciation for Attending the EACFFPC Media Workshop - On behalf of the FEAFFA Executive Director, Mr. John Mathenge, and TradeMark East Africa, we would
 4/10/13
Not starred
Important mainly because of your interaction with messages in the conversation.
Click to teach Gmail this conversation is not important.
me, Moses (3), Draft, PICHA YA Kangajaka, has attachments, 4/7/13, Moses How are you ,Icant imagine what has happened ,you don't want to answer my call, You know in.
me, Moses (3), Draft
PICHA YA Kangajaka - Moses How are you ,Icant imagine what has happened ,you don't want to answer my call, You know in
Attachment4/7/13
Not starred
Important mainly because of the people in the conversation.
Click to teach Gmail this conversation is not important.
Jean-Pierre Uwanone, JOBS in Arusha, 4/2/13, Click here: http://www.african-court.org/en/index.php/2012-03-04-06-10-45/2012-03-27-19-11-07.
Jean-Pierre Uwanone
JOBS in Arusha - Click here: http://www.african-court.org/en/index.php/2012-03-04-06-10-45/2012-03-27-19-11-07
 4/2/13
Not starred
Important mainly because it was sent directly to you.
Click to teach Gmail this conversation is not important.
unread, Arusha Press Club, ADA YA UANACHAMA, 3/29/13, Ndugu Mwanachama, Chama cha waandishi wa habari Mkoa wa Arusha kinapenda kukukumbusha kulipa ada yako.
Arusha Press Club
ADA YA UANACHAMA - Ndugu Mwanachama, Chama cha waandishi wa habari Mkoa wa Arusha kinapenda kukukumbusha kulipa ada yako
 3/29/13
Not starred
Important mainly because of the people in the conversation.
Click to teach Gmail this conversation is not important.
ISAELY MAKERE, Tender Advert, has attachments, 3/28/13, ANGALIA UWEZEKANO WA KUTANGAZA KUPITIA MWANANCHI YA JUMAMOSI TAREHE 30/03/2013.
ISAELY MAKERE
Tender Advert - ANGALIA UWEZEKANO WA KUTANGAZA KUPITIA MWANANCHI YA JUMAMOSI TAREHE 30/03/2013
Attachment3/28/13

Social

 
1–50 of 2,078
 
 
Your Social tab is empty.
Emails from social networks, media-sharing sites, dating services and other social sites will be shown here.
To add or remove tabs click inbox settings.

Promotions

 
1–50 of 186
 
 
Your Promotions tab is empty.
Deals, offers and other marketing emails will be shown here.
To add or remove tabs click inbox settings.

Conversations

Not starred
Click to teach Gmail this conversation is important.
To: drbugaywa, Makala Haki za watoto ,Sheria ya watoto na mtazamo wa jamii, has attachments, 2:59 pm, Hi dear I have sent 2 feature hope you will work on it Lvly gnt.
To: drbugaywa
Makala Haki za watoto ,Sheria ya watoto na mtazamo wa jamii - Hi dear I have sent 2 feature hope you will work on it Lvly gnt
Attachment2:59 pm
Not starred
Click to teach Gmail this conversation is important.
To: drbugaywa, Makala Mkurugenzi watumishi hawa wasipewe Kisogo wapewe Haki yao, has attachments, 2:49 pm, .
To: drbugaywa
Makala Mkurugenzi watumishi hawa wasipewe Kisogo wapewe Haki yao
Attachment2:49 pm
Not starred
Click to teach Gmail this conversation is important.
To: Philemon, dira, Waziri Mkuu Pinda, has attachments, 4:50 am, Waziri Mkuu Pinda amesikia kilio cha wananchi wa Ngorongoro na kuwapatia msaada wa magari ya wagonjwa.
To: Philemon, dira
Waziri Mkuu Pinda - Waziri Mkuu Pinda amesikia kilio cha wananchi wa Ngorongoro na kuwapatia msaada wa magari ya wagonjwa
Attachment4:50 am
Not starred
Click to teach Gmail this conversation is important.
To: dira, Philemon (2), Waziri Mkuu awanusuru wananchi Ngorongoro, 4:48 am, .
To: dira, Philemon (2)
Waziri Mkuu awanusuru wananchi Ngorongoro
 4:48 am
Not starred
Click to teach Gmail this conversation is important.
To: Philemon, dira, Waziri Mkuu Pinda akomboa wananchi Ngorongoro, has attachments, 4:25 am, Waziri Mkuu amewaondolea wananchi wa Ngongoro adha ya magari ya wagonjwa baada ya kuwapatia magari.
To: Philemon, dira
Waziri Mkuu Pinda akomboa wananchi Ngorongoro - Waziri Mkuu amewaondolea wananchi wa Ngongoro adha ya magari ya wagonjwa baada ya kuwapatia magari
Attachment4:25 am
Not starred
Click to teach Gmail this conversation is important.
To: mtanzania95, Philemon, (no subject), has attachments, 4:14 am, Waziri Mkuu wa Tanzania Mizengo Pinda kwa jitihada zake binafs amefanikiwa kutoa msaada wa Ambulance.
To: mtanzania95, Philemon
(no subject) - Waziri Mkuu wa Tanzania Mizengo Pinda kwa jitihada zake binafs amefanikiwa kutoa msaada wa Ambulance
Attachment4:14 am
Not starred
Click to teach Gmail this conversation is important.
To: mtanzania95, ... (2), Waziri Mkuu Pinda awanusuru Wanawake wajawazito Ngorongoro ,awapatia msaada wa Ambulance, 2:16 am, Forwarded message From: Mary Mwita <marymwita2011@gmail.com> Date: 2015-.
To: mtanzania95, ... (2)
Waziri Mkuu Pinda awanusuru Wanawake wajawazito Ngorongoro ,awapatia msaada wa Ambulance -  Forwarded message From: Mary Mwita <marymwita2011@gmail.com> Date: 2015-
 2:16 am
Not starred
Click to teach Gmail this conversation is important.
To: dira, Philemon, Wananchi waelezwa kuelimika kuhusu haki ya kupiga kura walaani rushwa, has attachments, Sep 5, Elimu ya Urai kuhusu haki ya Mpiga kura ,imeelezwa kufungua ukurasa mpya na kubadilisha mitazamo ya.
To: dira, Philemon
Wananchi waelezwa kuelimika kuhusu haki ya kupiga kura walaani rushwa - Elimu ya Urai kuhusu haki ya Mpiga kura ,imeelezwa kufungua ukurasa mpya na kubadilisha mitazamo ya
AttachmentSep 5
Not starred
Click to teach Gmail this conversation is important.
To: dira, Philemon, Wananachi watakiwa kujitokeza Kongamano la Amani, has attachments, Sep 4, Na Mary Mwita ,Arusha WANANCHI wa Mkoa wa Arusha na maeneo jirani wametakiwa kujitokeza kuhudhuria.
To: dira, Philemon
Wananachi watakiwa kujitokeza Kongamano la Amani - Na Mary Mwita ,Arusha WANANCHI wa Mkoa wa Arusha na maeneo jirani wametakiwa kujitokeza kuhudhuria
AttachmentSep 4
Not starred
Click to teach Gmail this conversation is important.
To: zajosasa, Jeshi la Polsi lamkamata mtuhumiwa wa mauaji ya ukatili Hotel A.M, has attachments, Sep 3, Na Mary Mwita,Arusha JESHI la Polisi Mkoa wa Arusha limefanikiwa kumkamata mtu aliyetajwa kwa jina la.
To: zajosasa
Jeshi la Polsi lamkamata mtuhumiwa wa mauaji ya ukatili Hotel A.M - Na Mary Mwita,Arusha JESHI la Polisi Mkoa wa Arusha limefanikiwa kumkamata mtu aliyetajwa kwa jina la
AttachmentSep 3
Not starred
Click to teach Gmail this conversation is important.
To: dira, Viongozi wa Dini mbali mbali kujadili Amani na Upendo, has attachments, Sep 3, Intro Kwa kutambua umuhimu wa Amani na Upendo ,Viongozi wa dini mbali mbali Mkoa wa Arusha kwa.
To: dira
Viongozi wa Dini mbali mbali kujadili Amani na Upendo - Intro Kwa kutambua umuhimu wa Amani na Upendo ,Viongozi wa dini mbali mbali Mkoa wa Arusha kwa
AttachmentSep 3
Not starred
Important mainly because of the people in the conversation.
Click to teach Gmail this conversation is not important.
To: Philemon Fihavango (2), Wananchi Meru watakiwa kujitokeza kuhakiki taarifa zao, Sep 2, Be Blessed abundantly From: Mary Mwita Sent: Wednesday, September 02, 2015 9:50 PM To: Philemon.
To: Philemon Fihavango (2)
Inbox
 
Wananchi Meru watakiwa kujitokeza kuhakiki taarifa zao - Be Blessed abundantly From: Mary Mwita Sent: Wednesday, September 02, 2015 9:50 PM To: Philemon
 Sep 2
Not starred
Click to teach Gmail this conversation is important.
To: Hamisa Maganga, Makala ,Mkurugenzi watumishi hawa wasipewe Kisogo ,wapewe haki zao, has attachments, Sep 2, Mkurugenzi, watumishi hawa wasipewe Kisogo wapewe Haki yao Na Mary Mwita Arusha MAENDELEO ya jamii.
To: Hamisa Maganga
Makala ,Mkurugenzi watumishi hawa wasipewe Kisogo ,wapewe haki zao - Mkurugenzi, watumishi hawa wasipewe Kisogo wapewe Haki yao Na Mary Mwita Arusha MAENDELEO ya jamii
AttachmentSep 2
Not starred
Click to teach Gmail this conversation is important.
To: dira, Philemon, Wadau wapongeza huduma ya wazee Sakila, has attachments, Aug 31, --- INTRO. wadau wa maendeleo wamesifu huduma ya kuhudumia wazee inayotolewa na timu ya Viongozi wa.
To: dira, Philemon
Wadau wapongeza huduma ya wazee Sakila - --- INTRO. wadau wa maendeleo wamesifu huduma ya kuhudumia wazee inayotolewa na timu ya Viongozi wa
AttachmentAug 31
Not starred
Click to teach Gmail this conversation is important.
To: dira, Philemon, (no subject), has attachments, Aug 31, INTRO. wadau wa maendeleo wamesifu huduma ya kuhudumia wazee inayotolewa na timu ya Viongozi wa.
To: dira, Philemon
(no subject) - INTRO. wadau wa maendeleo wamesifu huduma ya kuhudumia wazee inayotolewa na timu ya Viongozi wa
AttachmentAug 31
Not starred
Click to teach Gmail this conversation is important.
To: gadiola25, picha for blog, has attachments, Aug 27, Hi is my picture.
To: gadiola25
picha for blog - Hi is my picture
AttachmentAug 27
Not starred
Click to teach Gmail this conversation is important.
To: Charles, jbmhala, jamii yanyoshewa Kidole, Aug 27, Jamii yanyoshewa kidole ,yatakiwa kuwatunza wazee Na Mary Mwita ,Arumeru JAMII imekumbushwa kuwajali.
To: Charles, jbmhala
jamii yanyoshewa Kidole - Jamii yanyoshewa kidole ,yatakiwa kuwatunza wazee Na Mary Mwita ,Arumeru JAMII imekumbushwa kuwajali
 Aug 27
Not starred
Click to teach Gmail this conversation is important.
To: mtanzania95, ..., Jamii yanyoshewa vidole ,yakumbushwa kuwatunza wazee, Aug 27, Jamii yanyoshewa vidole ,yatakiwa kuwatunza wazee Na Mary Mwita ,Arumeru JAMII imekumbushwa kuwajali.
To: mtanzania95, ...
Jamii yanyoshewa vidole ,yakumbushwa kuwatunza wazee - Jamii yanyoshewa vidole ,yatakiwa kuwatunza wazee Na Mary Mwita ,Arumeru JAMII imekumbushwa kuwajali
 Aug 27
Not starred
Click to teach Gmail this conversation is important.
To: dira, Philemon, Habari kwa sauti ,Jamii yatakiwa kuwatunza wazee, has attachments, Aug 26, Intro. Suala la kuwatunza wazee linaelezwa kuwa ni la jamii nzima,kwa kutambua kuwa kila mtu atapitia.
To: dira, Philemon
Habari kwa sauti ,Jamii yatakiwa kuwatunza wazee - Intro. Suala la kuwatunza wazee linaelezwa kuwa ni la jamii nzima,kwa kutambua kuwa kila mtu atapitia
AttachmentAug 26
Not starred
Click to teach Gmail this conversation is important.
To: drbugaywa (3), Makala , na picha CCM yabeza wanaohamia CHADEMA ni waroho wa madaraka hawawezi kuwanyim..., has attachments, Aug 26, Forwarded message From: Mary Mwita <marymwita2011@gmail.com> Date: Thu,.
To: drbugaywa (3)
Makala , na picha CCM yabeza wanaohamia CHADEMA ni waroho wa madaraka hawawezi kuwanyim... -  Forwarded message From: Mary Mwita <marymwita2011@gmail.com> Date: Thu,
AttachmentAug 26
Not starred
Click to teach Gmail this conversation is important.
To: dira, Philemon, ... (3), habari Vijana wahama chadema, has attachments, Aug 24, Forwarded message From: Mary Mwita <marymwita2011@gmail.com> Date: Mon,.
To: dira, Philemon, ... (3)
habari Vijana wahama chadema -  Forwarded message From: Mary Mwita <marymwita2011@gmail.com> Date: Mon,
AttachmentAug 24
Not starred
Click to teach Gmail this conversation is important.
To: drbugaywa, habari CHADEMA yasambaratika Arumeru, Aug 24, CHADEMA Arumeru yasambaratika ,Vijana zaidi ya 1000 wahamia ACT Na Mary John ,Arumeru ,Arusha MJUMBE.
To: drbugaywa
habari CHADEMA yasambaratika Arumeru - CHADEMA Arumeru yasambaratika ,Vijana zaidi ya 1000 wahamia ACT Na Mary John ,Arumeru ,Arusha MJUMBE
 Aug 24
Not starred
Click to teach Gmail this conversation is important.
To: drbugaywa, habari.CHADEMA Arumeru yasambaratika ,Vijana zaidi ya 1000 wahamia ACT, Aug 24, CHADEMA Arumeru yasambaratika ,Vijana zaidi ya 1000 wahamia ACT Na Mary John ,Arumeru ,Arusha MJUMBE.
To: drbugaywa
habari.CHADEMA Arumeru yasambaratika ,Vijana zaidi ya 1000 wahamia ACT - CHADEMA Arumeru yasambaratika ,Vijana zaidi ya 1000 wahamia ACT Na Mary John ,Arumeru ,Arusha MJUMBE
 Aug 24
Not starred
Click to teach Gmail this conversation is important.
To: zamarau435, Please Taarifa hiyo iboreshe usomee waandishi, has attachments, Aug 23, Asalamu Alikum ,Mkuu Mimi ni Mary Mwita ..
To: zamarau435
Please Taarifa hiyo iboreshe usomee waandishi - Asalamu Alikum ,Mkuu Mimi ni Mary Mwita .
AttachmentAug 23
Not starred
Click to teach Gmail this conversation is important.
To: zamarau435, Taarifa kwa Vyombo vya habari, has attachments, Aug 23, Mkuu soma ufanyie kazi.
To: zamarau435
Taarifa kwa Vyombo vya habari - Mkuu soma ufanyie kazi
AttachmentAug 23
Not starred
Click to teach Gmail this conversation is important.
To: dira, Philemon, story Wagombea waonywa, has attachments, Aug 22, Intro Wagombea wamekumbushwa kufuata maadili na kuheshimu sheria za uchaguzi ,ikiwa ni pamoja na.
To: dira, Philemon
story Wagombea waonywa - Intro Wagombea wamekumbushwa kufuata maadili na kuheshimu sheria za uchaguzi ,ikiwa ni pamoja na
AttachmentAug 22
Not starred
Click to teach Gmail this conversation is important.
To: dira, Philemon, habari kwa Sauti, Aug 22, INTRO. Wagombea wameonywa kuepukana na lugha za kashafa jukwaani ,wakati wa kampeni ikiwa ni kuepuka.
To: dira, Philemon
habari kwa Sauti - INTRO. Wagombea wameonywa kuepukana na lugha za kashafa jukwaani ,wakati wa kampeni ikiwa ni kuepuka
 Aug 22
Not starred
Click to teach Gmail this conversation is important.
To: dira, Habari.CCM yakanusha kukimbiwa na wanachama wote,yadai ni kiduchu, has attachments, Aug 20, INTRO CHAMA cha Mapinduzi Mkoa wa Arusha kimewataka wapenzi na wanachama wa Chama hicho kusimama.
To: dira
Habari.CCM yakanusha kukimbiwa na wanachama wote,yadai ni kiduchu - INTRO CHAMA cha Mapinduzi Mkoa wa Arusha kimewataka wapenzi na wanachama wa Chama hicho kusimama
AttachmentAug 20
Not starred
Click to teach Gmail this conversation is important.
To: drbugaywa, Habari .CCM Arusha yadai waliohamia CHADEMA ni kiduchu ,hawana madhara na Chama, Aug 20, CCM Arusha yadai waliohamia CHADEMA ni kiduchu ,hawana madhara na Chama Na Mary John ,Arusha . CHAMA.
To: drbugaywa
Habari .CCM Arusha yadai waliohamia CHADEMA ni kiduchu ,hawana madhara na Chama - CCM Arusha yadai waliohamia CHADEMA ni kiduchu ,hawana madhara na Chama Na Mary John ,Arusha . CHAMA
 Aug 20
Not starred
Click to teach Gmail this conversation is important.
To: mtanzania95, ... (2), Habari.Waandishi watakiwa kusaidia Wananchi kupata kiongozi bora ,kwa kutumia , Sheria ..., Aug 12, Forwarded message From: Mary Mwita <marymwita2011@gmail.com> Date: 2015-.
To: mtanzania95, ... (2)
Habari.Waandishi watakiwa kusaidia Wananchi kupata kiongozi bora ,kwa kutumia , Sheria ... -  Forwarded message From: Mary Mwita <marymwita2011@gmail.com> Date: 2015-
 Aug 12
Not starred
Click to teach Gmail this conversation is important.
To: dira, Philemon (2), (no subject), has attachments, Aug 10, On 8/10/15, Mary Mwita <marymwita2011@gmail.com> wrote: > INTRO > > SERIKALI Wilaya ya.
To: dira, Philemon (2)
(no subject) - On 8/10/15, Mary Mwita <marymwita2011@gmail.com> wrote: > INTRO > > SERIKALI Wilaya ya
AttachmentAug 10
Not starred
Click to teach Gmail this conversation is important.
To: mtanzania95, ..., Habari.Wananchi Mto wa Mbu washukuru PPF kunusuru Wajawazito, Aug 9, Wananchi Mto wa Mbu washukuru PPF kunusuru Wajawazito Na Mary Mwita ,Monduli WANANCHI wa kata Mto Mbu.
To: mtanzania95, ...
Habari.Wananchi Mto wa Mbu washukuru PPF kunusuru Wajawazito - Wananchi Mto wa Mbu washukuru PPF kunusuru Wajawazito Na Mary Mwita ,Monduli WANANCHI wa kata Mto Mbu
 Aug 9
Not starred
Click to teach Gmail this conversation is important.
To: mtanzania95, ..., habari Wananchi Mto wa Mbu washukuru PPF Kunusuru Wajawazito, Aug 6, Wananchi Mto wa Mbu washukuru PPF kunusuru Wajawazito Na Mary Mwita ,Monduli WANANCHI wa kata Mto Mbu.
To: mtanzania95, ...
habari Wananchi Mto wa Mbu washukuru PPF Kunusuru Wajawazito - Wananchi Mto wa Mbu washukuru PPF kunusuru Wajawazito Na Mary Mwita ,Monduli WANANCHI wa kata Mto Mbu
 Aug 6
Not starred
Click to teach Gmail this conversation is important.
To: Philemon Fihavango, Hi, Aug 6, Thank u Director Have a good moment.
To: Philemon Fihavango
Hi - Thank u Director Have a good moment
 Aug 6
Not starred
Click to teach Gmail this conversation is important.
To: cmwilolezi, veronicah, Serikali yashukuru PPF, Aug 6, Na Mwandishi wetu Monduli SERIKALI , Wilaya ya Monduli wameshukuru Mfuko wa Pesheni wa PPF kwa.
To: cmwilolezi, veronicah
Serikali yashukuru PPF - Na Mwandishi wetu Monduli SERIKALI , Wilaya ya Monduli wameshukuru Mfuko wa Pesheni wa PPF kwa
 Aug 6
Not starred
Click to teach Gmail this conversation is important.
To: mtanzania95, ..., (no subject), Aug 6, Wananchi washukuru PPF kwa kunusuru akina mama Wajawazito Mto wa Mbu Na Mary Mwita ,Monduli WANANCHI.
To: mtanzania95, ...
(no subject) - Wananchi washukuru PPF kwa kunusuru akina mama Wajawazito Mto wa Mbu Na Mary Mwita ,Monduli WANANCHI
 Aug 6
Not starred
Click to teach Gmail this conversation is important.
To: mtanzania95, Charles (2), Makundi na Chuki za Kisiasa za wapambe wa Lowassa na Membe yajitokeza kwenye uchaguzi w..., Aug 3, Forwarded message From: Mary Mwita <marymwita2011@gmail.com> Date: 2015-.
To: mtanzania95, Charles (2)
Makundi na Chuki za Kisiasa za wapambe wa Lowassa na Membe yajitokeza kwenye uchaguzi w... -  Forwarded message From: Mary Mwita <marymwita2011@gmail.com> Date: 2015-
 Aug 3
Not starred
Click to teach Gmail this conversation is important.
To: dira, Philemon, Ablood (2), Habari kwa sauti ,Makundi ya chuki yataka kuvuruga uchaguzi Arusha, has attachments, Aug 3, Forwarded message From: Mary Mwita <marymwita2011@gmail.com> Date: 2015-.
To: dira, Philemon, Ablood (2)
Habari kwa sauti ,Makundi ya chuki yataka kuvuruga uchaguzi Arusha -  Forwarded message From: Mary Mwita <marymwita2011@gmail.com> Date: 2015-
AttachmentAug 3
Not starred
Click to teach Gmail this conversation is important.
To: mtanzania95, ... (3), Habari ,Mwenyekiti CCM Mkoa wa Arusha ,ashindwa kuzuia machungu ya Kukatwa Lowassa ,ada..., Jul 24, Forwarded message From: Mary Mwita <marymwita2011@gmail.com> Date: Fri,.
To: mtanzania95, ... (3)
Habari ,Mwenyekiti CCM Mkoa wa Arusha ,ashindwa kuzuia machungu ya Kukatwa Lowassa ,ada... -  Forwarded message From: Mary Mwita <marymwita2011@gmail.com> Date: Fri,
 Jul 24
Not starred
Click to teach Gmail this conversation is important.
To: mtanzania95, habari .Wanawake UWT Arumeru watangaza kumuunga Mkono Dkt Magufuli, Jul 24, Wanawake UWT Arumeru watangaza kumuunga Mkono Dkt Magufuli Na Mary Mwita ,Arumeru WANAWAKE wa Umoja.
To: mtanzania95
habari .Wanawake UWT Arumeru watangaza kumuunga Mkono Dkt Magufuli - Wanawake UWT Arumeru watangaza kumuunga Mkono Dkt Magufuli Na Mary Mwita ,Arumeru WANAWAKE wa Umoja
 Jul 24
Not starred
Click to teach Gmail this conversation is important.
To: dira, Philemon, ... (3), Habari kwa Sauti, has attachments, Jul 24, Hi Nyingine hiyo.
To: dira, Philemon, ... (3)
Habari kwa Sauti - Hi Nyingine hiyo
AttachmentJul 24
Not starred
Click to teach Gmail this conversation is important.
To: mtanzania95, Habari .Wanasiasa wanyoshewa vidole, Jul 23, Wanasiasa wanyoshewa Vidole. Na Mary Mwita,Arusha WANASIASA wameonywa kuacha kujinadi kwa kutumia.
To: mtanzania95
Habari .Wanasiasa wanyoshewa vidole - Wanasiasa wanyoshewa Vidole. Na Mary Mwita,Arusha WANASIASA wameonywa kuacha kujinadi kwa kutumia
 Jul 23
Not starred
Click to teach Gmail this conversation is important.
To: mtanzania95, Jamii za Wafugaji zatakiwa kutumia fedha za TASAF kuanzisha miradi ya Maendeleo, Jul 21, Na Mary Mwita,Monduli SERIKALI imezitaka jamii za wafugaji kujiunga na vikundi vya maendeleo na.
To: mtanzania95
Jamii za Wafugaji zatakiwa kutumia fedha za TASAF kuanzisha miradi ya Maendeleo - Na Mary Mwita,Monduli SERIKALI imezitaka jamii za wafugaji kujiunga na vikundi vya maendeleo na
 Jul 21
Not starred
Click to teach Gmail this conversation is important.
To: mtanzania95, dennis (2), Serikali ,wadau watakiwa kusaidia Shule za Pembezoni kupata Nishati ya Umeme, Jul 17, Serikali na wadau watakiwa kusaidia Shule za Pembezoni kupata Nishati Na Mary Mwita,Arusha SERIKALI,.
To: mtanzania95, dennis (2)
Serikali ,wadau watakiwa kusaidia Shule za Pembezoni kupata Nishati ya Umeme - Serikali na wadau watakiwa kusaidia Shule za Pembezoni kupata Nishati Na Mary Mwita,Arusha SERIKALI,
 Jul 17
Not starred
Click to teach Gmail this conversation is important.
To: dira, Zoezi la uandikishwaji laongezwa, Jul 17, Zoezi la uandikishwaji laongezwa. Na Mary Mwita,Arusha TUME ya Taifa ya uchaguzi (NEC) imeongeza siku.
To: dira
Zoezi la uandikishwaji laongezwa - Zoezi la uandikishwaji laongezwa. Na Mary Mwita,Arusha TUME ya Taifa ya uchaguzi (NEC) imeongeza siku
 Jul 17
Not starred
Click to teach Gmail this conversation is important.
To: mtanzania95, CCM Monduli yaingiliwa na Upinzani,Bendera za chomwa na kadi, has attachments, Jul 16, Na Mary Mwita ,Monduli KATIKA hali isiyokuwa ya kawaida Mji wa Monduli umeingiliwa na upinzani ikiwa.
To: mtanzania95
CCM Monduli yaingiliwa na Upinzani,Bendera za chomwa na kadi - Na Mary Mwita ,Monduli KATIKA hali isiyokuwa ya kawaida Mji wa Monduli umeingiliwa na upinzani ikiwa
AttachmentJul 16
Not starred
Click to teach Gmail this conversation is important.
To: mtanzania95, RC Arusha awataka wananchi kujitokeza kumaliza Zoezi la kuandikishwa, Jul 16, RC Arusha ataka wananchi wajitokeze siku ya mwisho kujiandikisha Na Mary Mwita ,Arusha MKUU wa Mkoa.
To: mtanzania95
RC Arusha awataka wananchi kujitokeza kumaliza Zoezi la kuandikishwa - RC Arusha ataka wananchi wajitokeze siku ya mwisho kujiandikisha Na Mary Mwita ,Arusha MKUU wa Mkoa
 Jul 16
Not starred
Click to teach Gmail this conversation is important.
To: dira, Mkuu wa Mkoa ataka Barabara zikarabatiwe, Jul 9, RC ataka Barabara Korofi zikarabatiwe Na Mary Mwita ,Arusha MKUU wa Mkoa wa Arusha, Daudi Ntibenda.
To: dira
Mkuu wa Mkoa ataka Barabara zikarabatiwe - RC ataka Barabara Korofi zikarabatiwe Na Mary Mwita ,Arusha MKUU wa Mkoa wa Arusha, Daudi Ntibenda
 Jul 9
Not starred
Click to teach Gmail this conversation is important.
To: mtanzania95, RC ataka Barabara korofi zikarabatiwe, Jul 9, RC ataka Barabara Korofi zikarabatiwe Na Mary Mwita ,Arusha MKUU wa Mkoa wa Arusha, Daudi Ntibenda.
To: mtanzania95
RC ataka Barabara korofi zikarabatiwe - RC ataka Barabara Korofi zikarabatiwe Na Mary Mwita ,Arusha MKUU wa Mkoa wa Arusha, Daudi Ntibenda
 Jul 9
Not starred
Click to teach Gmail this conversation is important.
To: mtanzania95, Wanasheria na Asasi za Kirai waja juu Sakata la Burundi, Jul 7, Wanasheria Afrika na Asasi za Afrika Mashariki wavilia njuga Sakata Burundi ,wapeleka maombi Mahakama.
To: mtanzania95
Wanasheria na Asasi za Kirai waja juu Sakata la Burundi - Wanasheria Afrika na Asasi za Afrika Mashariki wavilia njuga Sakata Burundi ,wapeleka maombi Mahakama
 Jul 7
 
 
 

 
.
 
 
 
WaziriMkuuPinda  awanusuru  WanawakewajawazitoNgorongoro,awapatiamsaadawaAmbulance
Mary Mwita  ,Arusha
 
WAZIRI Mkuu wa Tanzania Mizengo Pinda  amewanusuru  wananchi zaidi ya 174,000 wa Wilaya ya Ngorongoro katika vijijiji vya Wasso na Enduleni kwa kuwapa magari maalum mawili  ya kubebea wagonjwa (Ambulance)zenye  thamani ya Sh.milioni 150
 
Akikabidhi magari hayo kwa Mkuu wa Mkoa wa Arusha Felix Ntibenda alisema kuwa magari hayo ni ahadi aliyoitoa mwaka 2013 katika moja ya ziara zake Wilaya ya Ngorongoro baada ya wananchi kutoa kilio cha ukosefu wa magari hayo .
 
Pinda alikitoa ufafanuzi wa msaada huo alisema kuwa magari hayo ni jitihada zake binafsi baada ya kuomba magari hayo Serikalini bila mafanikio ,na kumlazimu kuomba kwa wahisani wa nje wakiwemo watanzania waishio nchini Japan
 
 
“Ndugu wananchi ,nikiwa kiongozi niligusuwa na adha ya wanawake wajawazito Katika kituo cha Enduleni ,na Wasso ,nikiwa sipati usingizi ,na kuona tatizo hilo ni kubwa nikatoa maelelekezo kwa Wizara ya Afya ,kutoa magari hayo ,lakini kutokana  na ufinyu wa bajeti hawajatekeleza ,hivyo nikaona kuna haja ya kuwaomba wahisani  wakati wa ziara yangu nchini Japan ,nashukuru nilikutana na watanzania waishio Japan na wahisani wengine wakanisaidia magari hayo “alisema Pinda
 
Waziri Mkuu alisema kuwa msaada huo  ni juhudi zake binafsi na Serikali inajukumu la kuhakikisha kuwa maelekezo aliyoyatoa yanatekelezwa kwa wananchi hao bado wanahitaji magari zaidi kulingana na mahitaji yao .
 
Kwa upande wake Mkuu wa Wilaya ya Ngorongoro Hashimu Mgandilwa alisema kuwa ukilinganisha na Wilaya nyingine za Mkoa wa Arusha Wilaya ya Ngorongoro ina miundo mbinu mibovu ,hivyo magari hayo yatasaidia kutoa huduma za wagonjwa wanaoishi maeneo ya mbali na waliozidiwa
 
Hashimu alitoa mfano kuwa kutoka kituo cha afya Enduleni na Wasso hadi hospitali ya Mkoa wa Arusha Mount Meru ni umbali wa zaidi ya Kilometa 200 hivyo magari hayo yatasaidia kunusuru maisha ya wagonjwa kwa kuwawezesha kufika hospitali za rufaa mapema .
 
Naye Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Ngorongoro ,John Mgalula alisema kuwa magari hayo ni ukombombozi hasa kwa akina mama wajawazito  pamoja na majeruhi wa ajali ,ambapo awali waliomba msaada katika Halmashauri ya Karatu .
 
Mgalula  alisema kuwa atahakikisha magari hayo yanatunzwa na kuendelea kunufaisha walengwa .
 

 

Waziri Mkuu Pinda 
 
 
 
Collapse all
Expand all
Print all
In new window

 

 


 
 
 
 

Posted by Unknown at 9/11/2015 10:55:00 AM No comments:
Email ThisBlogThis!Share to XShare to Facebook
Labels: Afya, Arusha, Habari
Older Posts Home
Subscribe to: Comments (Atom)

Popular Posts

  • Chuo cha Maendeleo jamii ,Kilichopewa kisogo na Serikali
    Chuo Cha Maendeleo ya Jamii ,kilichopika wasomi wanaotumikia Taifa ,lakini kiwa kinarembwa na majengo Chakavu NI jambo la kushanga...
  • Serikali imekipa kisogo chuo cha maendeleo ya jamii Tengeru
    Jengo Pekee bora Chuo cha Maendeleo Jamii Tengeru,Serikali inatia aibu ,Chuo kina miaka 45 tangu kuanzishwa 
  • Mahaka yatoa hukumu ya Kesi ya talaka ya kusaka mgawanyo Mali ,wadai ndoa ni Batili
    Kutoka Mahakamani Mahakama yatoa hukumu ya Talaka yadai   talaka inayodaiwa ni batili ,Siyo ya Mke wa Kisheria mgawanyo wa mali ...
  • Mkurugenzi wa Halmashauri ya Arusha ,Charles Mahera akabidhi mbuzi wenye thamani ya Tshs 20,409,470 .89 kwa kaya maskini Imbibia ,Wilaya ya Arumeru ,Mkoa wa Arusha
    Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Arusha .Dr.Charles Mahera akikabidhi mbuzi kwa wananchi kutoka kaya Maskini,katika Kijiji Ch Imbibia...
  • Vipando vya mazao ya kilimo ,Wizara ya Kilimo yatia fora
    Vipando vya Mazao katika Banda la Wizara ya Kilimo,Kanda ya Kaskazini ,Vipando vinavyosimamiwa na Bw,Elias
  • Wasomi wa Chuo Kikuu Makumira wanaochukua Shahada ya Muziki wakicheza ngoma ya Kimasai
    Wanafunzi wa Chuo Kikuu Tumaini Makumira Usa River Arusha  ,wakicheza ngoma ya Kimasai ikiwa ni sehemu ya masomo yao ya Muziki
  • Samia Suluhu Hassan katika Kampeni za Kuwania Ugombea Mwenza wa Urais , jijini Arusha
    mgombea mwenza wa nafasi ya urais  Bi. Samia Suluhu akiwa anawahutubia wananchi wa mkoa wa Arusha katika viwanja vya Samunge v...
  • Watoto yatima Patandi waomba wadau wa Maendeleo kuwasaidia mahitaji ya msingi kukabiliana na mazingira duni
    Watoto  wanaotunzwa na Kituo cha watoto yatima Patandi wakiwa katika moja ya hafula ya chakula cha pamoja na wadau wa maendeleo  wa Halmas...
  • Kikwete afurahishwa na Huduma ya Afya Hospitali ya Oltrument,Arumeru
    Mganga Mkuu wa Halmashauri ya Arusha Dk.Thobias Mkina akitoa ufafanuzi wa Hospitali ya Oltrument kwa Rais Kikwete Add caption
  • Elimu ya Wanafunzi ,Kiteto wakombolewa
    Wanafunzi Kiteto wafurahia mazingira bora ya taaluma ,Washukuru TASAF

Labels

  • Afya
  • Arusha
  • Dini
  • Dini Arusha
  • Elimu
  • Habari
  • Jamii Arumeru
  • Jamii Arusha
  • Kilimo
  • Maisha
  • Maisha Dar es Salaam
  • Matukio
  • Michezo
  • Muziki
  • Siasa
  • Uchumi

Blog Archive

  • ▼  2017 (1)
    • ▼  March (1)
      • Mkurugenzi wa Halmashauri ya Arusha ,Charles Maher...
  • ►  2016 (4)
    • ►  September (4)
  • ►  2015 (15)
    • ►  September (7)
    • ►  August (5)
    • ►  July (3)
  • ►  2014 (7)
    • ►  March (7)
  • ►  2013 (16)
    • ►  August (2)
    • ►  July (5)
    • ►  June (4)
    • ►  May (2)
    • ►  March (2)
    • ►  February (1)
  • ►  2012 (25)
    • ►  December (4)
    • ►  November (21)
 
Copyright © Kisima cha Habari | Designed by Gadiola Emanuel| 0755 643 633