Mwandishi Mary Mwita ,akiwa Kiteto Manyara kihoji wananchi jinsi walivyonufaika na TASAF,wadai wamenufaika kwa kupata barabara ya uhakika walioichimba na kuitengeneza wenyewe ,wataka miradi mingine ya maendeleo ifuate nyayo za TASAF,kwa kuwa inashirikisha wananchi katika kila hatua ,na hivyo imeweza kufanikiwa kutokana na ushiriki wa wananchi ,na hivyo kuondoa mianya ya wanaofuja fedha za miradi
MAKAMU WA RAIS DKT NCHIMBI MGENI RASMI KILELE CHA MAADHIMISHO WIKI YA MAJI
MKOANI MOROGORO
-
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Balozi Dkt. Emmanuel
Nchimbi akisafiri kwa Treni ya Kisasa ya Umeme ya SGR kutoka Dar es Salaam
kue...
3 hours ago
No comments:
Post a Comment