Mwandishi Mary Mwita ,akiwa Kiteto Manyara kihoji wananchi jinsi walivyonufaika na TASAF,wadai wamenufaika kwa kupata barabara ya uhakika walioichimba na kuitengeneza wenyewe ,wataka miradi mingine ya maendeleo ifuate nyayo za TASAF,kwa kuwa inashirikisha wananchi katika kila hatua ,na hivyo imeweza kufanikiwa kutokana na ushiriki wa wananchi ,na hivyo kuondoa mianya ya wanaofuja fedha za miradi
GST YAWEKEZA UJUZI, TEKNOLOJIA KUBORESHA TAFITI ZA MADINI NCHINI
-
Mkurugenzi wa Utawala na Uendeshaji wa GST, Neema Mhagama akizungumza na
waandishi wa habari alipotembelea banda la GST katika Maonesho ya Kilimo
ya ...
4 hours ago
No comments:
Post a Comment