Mwandishi Mary Mwita ,akiwa Kiteto Manyara kihoji wananchi jinsi walivyonufaika na TASAF,wadai wamenufaika kwa kupata barabara ya uhakika walioichimba na kuitengeneza wenyewe ,wataka miradi mingine ya maendeleo ifuate nyayo za TASAF,kwa kuwa inashirikisha wananchi katika kila hatua ,na hivyo imeweza kufanikiwa kutokana na ushiriki wa wananchi ,na hivyo kuondoa mianya ya wanaofuja fedha za miradi
RAIS MSTAAFU KIKWETE :JUKWAA LA UONGOZI AFRIKA NI MUHIMU KATIKA KUKUZA
MAZUNGUMZO YA UWAZI, KUJENGA FURSA
-
Na Mwandishi Wetu,Michuzi TV
RAIS Mstaafu wa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Jakaya Kikwete
amesema tangu kuanzishwa kwa Jukwaa la Uongozi la A...
10 hours ago
No comments:
Post a Comment