Mwandishi Mary Mwita ,akiwa Kiteto Manyara kihoji wananchi jinsi walivyonufaika na TASAF,wadai wamenufaika kwa kupata barabara ya uhakika walioichimba na kuitengeneza wenyewe ,wataka miradi mingine ya maendeleo ifuate nyayo za TASAF,kwa kuwa inashirikisha wananchi katika kila hatua ,na hivyo imeweza kufanikiwa kutokana na ushiriki wa wananchi ,na hivyo kuondoa mianya ya wanaofuja fedha za miradi
RUTO ATOA WITO KWA NCHI ZA AFRIKA MASHARIKI,ASEMA MIPAKA ISIWE KIKWAZO:
-
Na Janeth Raphael MichuziTv - Bungeni Dodoma
Rais wa Kenya, William Ruto, ametoa wito mzito kwa nchi wanachama wa
Jumuiya ya Afrika Mashariki kuharakish...
13 hours ago
No comments:
Post a Comment