September 5, 2016
Kanisa la AGAPE kujenga Hospitali ya Rufaa Dodoma ,yapewa ekari 600
Askofu Mkuu wa Agape WEUMA Tanzania Wilson Martin akipokea hati ya makabidhiano ya ekari 600 kutoka kwa Spika wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ,ambapo kanisa hilo litajenga Hospitali ya Rufaa na Chuo kikuu cha utafiti wa Afya katika mji wa Dodoma ikiwa ni kuu kuunga mkono jitihada za Serikali
Labels:
Dini
Subscribe to:
Post Comments (Atom)

No comments:
Post a Comment