Mwenyekiti wa jumuiya ya wazazi Mkoa wa Arusha na Mbunge wa Afrika Mashariki Mh.Bernard Murunya akikabidhi Pikipiki akiwa ni mgeni rasm , akimkabidhi moja ya Pikipiki kwa katibu jumuiya ya wazazi Wilaya ya Arusha Rehema Mohamed jana nje ya Makao makuu ya chama hicho jijini Arusha, Pikipiki hiyo ni miongoni mwa Pikipiki Saba zinazotakiwa kugawanya katika Wilaya za Mkoa wa Arusha
RAIS MSTAAFU KIKWETE :JUKWAA LA UONGOZI AFRIKA NI MUHIMU KATIKA KUKUZA
MAZUNGUMZO YA UWAZI, KUJENGA FURSA
-
Na Mwandishi Wetu,Michuzi TV
RAIS Mstaafu wa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Jakaya Kikwete
amesema tangu kuanzishwa kwa Jukwaa la Uongozi la A...
5 hours ago
No comments:
Post a Comment