Mwenyekiti wa jumuiya ya wazazi Mkoa wa Arusha na Mbunge wa Afrika Mashariki Mh.Bernard Murunya akikabidhi Pikipiki akiwa ni mgeni rasm , akimkabidhi moja ya Pikipiki kwa katibu jumuiya ya wazazi Wilaya ya Arusha Rehema Mohamed jana nje ya Makao makuu ya chama hicho jijini Arusha, Pikipiki hiyo ni miongoni mwa Pikipiki Saba zinazotakiwa kugawanya katika Wilaya za Mkoa wa Arusha
NMB yaongeza kasi ya kufadhili biashara za mifugo
-
- Mikopo ya mifugo NMB yavuka Sh180 bilioni.
Ubena Zomozi; Benki ya NMB imetoa zaidi ya Sh180 bilioni kufadhili wafugaji
na biashara katika mnyororo wa tha...
1 hour ago

No comments:
Post a Comment