Mwenyekiti wa jumuiya ya wazazi Mkoa wa Arusha na Mbunge wa Afrika Mashariki Mh.Bernard Murunya akikabidhi Pikipiki akiwa ni mgeni rasm , akimkabidhi moja ya Pikipiki kwa katibu jumuiya ya wazazi Wilaya ya Arusha Rehema Mohamed jana nje ya Makao makuu ya chama hicho jijini Arusha, Pikipiki hiyo ni miongoni mwa Pikipiki Saba zinazotakiwa kugawanya katika Wilaya za Mkoa wa Arusha
MAKAMU WA RAIS DKT NCHIMBI MGENI RASMI KILELE CHA MAADHIMISHO WIKI YA MAJI
MKOANI MOROGORO
-
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Balozi Dkt. Emmanuel
Nchimbi akisafiri kwa Treni ya Kisasa ya Umeme ya SGR kutoka Dar es Salaam
kue...
4 hours ago

No comments:
Post a Comment